MKUSDA CHURCH
Unity in Worship

Author name: admin

12. MWOKOZI ALIYEPO DAIMA

MWOKOZI ALIYEPO DAIMAKijana mmoja wa Kiskoti, kwa jina Petro,alipopotea katika nyika yenye majani mengiusiku mmoja uliokuwa na giza jeusi kamawino, Mungu alimwita kwa jina lake:”Petro!” Sauti ile ya mbinguni ilipoita tena,Petro alisimama katika njia yake,akaangalia chini na kugundua kwambaalikuwa umbali wa hatua moja tukutumbukia katika shimo la machimbo yamawe lililokuwa limeachwa.Je! isingekuwa ni ajabu kwetu […]

12. MWOKOZI ALIYEPO DAIMA Read More »

13. TOKA MDHAMBI MWENYE HATIA HADIMTAKATIFU ALIYESAMEHEWA

TOKA MDHAMBI MWENYE HATIA HADIMTAKATIFU ALIYESAMEHEWAHapakuwa na alama zo zote za vidole. Hakuna silaha yo yoteiliyogunduliwa. Hakuna mtu ye yote aliyemwona mwuaji yule alipoingiakatika ofisi ya yule daktari. Hakuna ye yote aliyesikia hata zilipofyatuliwazile risasi. Lakini yule daktari alikuwa na risasi tano zimepenya shati yake.Ilionekana kana kwamba ni uhalifuuliofanywa kwa ustadi sana. MwanzoniPolisi hawakuweza kupata

13. TOKA MDHAMBI MWENYE HATIA HADIMTAKATIFU ALIYESAMEHEWA Read More »

14. SIRI YA OMBI LINALOJIBIWA

SIRI YA OMBI LINALOJIBIWAAnatoli Levitini, mwandishi na mwanahistoriawa Kirusi, alitumia miaka yake mingi katikaGulag ya Siberia, ambako dua zilizotolewa kwaMungu zilionekana kana kwamba zimegandaardhini. Lakini alirudi akiwa mzima kiroho.”Mwujiza mkuu kuliko yote ni maombi,”aliandika. “Yanipasa tu kumgeukia Mungukimawazo na mara moja naisikia nguvuinayoingia ndani yangu kutoka mahali fulani,inaingia katika roho yangu, na mwili wanguwote. Je!

14. SIRI YA OMBI LINALOJIBIWA Read More »

15. SIRI YA FURAHA

SIRI YA FURAHAMwaka 1943, majeshi ya Uvamizi ya Kijapani yaliwaamuru wale “WananchiMaadui” wa Kimarekani na Ulaya kwenda katika kambi la waliotekwa vitanikatika lile Jimbo la china la Shantung.Walilazimika kustahimili miezi mingi ya kuchosha sana, ya kukata tamaa, yakusongamana pamoja na ya hofu. Watu wenye tabia tofauti waligongana,hasira zililipuka. Magomvi madogo madogo yaliongezeka sana.Lakini mtu mmoja

15. SIRI YA FURAHA Read More »

16. SIRI YA PUMZIKO LA MBINGUNI

SIRI YA PUMZIKO LA MBINGUNIMiaka michache tu iliyopita wengine walikuwa wakibashiri kwamba muda simrefu tungekuwa na muda mwingi sana wa mapumziko ambaotungeshindwa kujua tufanye nini nao. Hizi zilikuwa ndizo sababu nzuri kwaubashiri ule wenye matumaini. Katika miji mikuu ya ulimwengumakompyuta yalikuwa yakizisaga-saga kazi ambazo zingechukua mwezimzima kuzifanya kwa sehemu tu ya nukta moja. Na yale

16. SIRI YA PUMZIKO LA MBINGUNI Read More »

17. SIRI YA UKUAJI KWA KUSHUHUDIA

SIRI YA UKUAJI KWA KUSHUHUDIALarry alikuwa akifurahia maongozi yale mazuri, chai ya kijapani, walimkavu, nyumbani kwa Bwana Komari wakati wageni wengine walipoanzakuzitoa Biblia zao. Wote wakamtazama na kumngojea. “Tafadhali tupesomo letu sasa?” Bwana Komari aliomba.Larry alikuwa karibu amepaliwa na chai yake. Alikuwa amedhani kwambamkutano ule wa dhifa (Karamu) ulikuwa wa kujifurahisha tu. Na sasahakuweza kufikiri

17. SIRI YA UKUAJI KWA KUSHUHUDIA Read More »

18. SIRI YA MTINDO WA MAISHA ULETAO AFYA

SIRI YA MTINDO WA MAISHA ULETAO AFYAWatafiti wanaoishi katika kipindi hiki tulicho nacho wamejitahidi sanakuithibitisha ile kweli iliyothibitishwa kwanza na Biblia kwa kutoa maelezohaya: Wanadamu ni viumbe kamili. Mara nyingi kile tunachokigawa katikasehemu za kimwili, kiakili, na kiroho ni sehemu za mtu zilizo na uwianounaoingiliana, wala hazitenganishiki. Kwa maneno mengine, kinachoidhuruakili, kinaudhuru mwili.Hali yetu ya

18. SIRI YA MTINDO WA MAISHA ULETAO AFYA Read More »

19. KUINGIA KATIKA MAISHA YA KIKRISTO

KUINGIA KATIKA MAISHA YA KIKRISTOHapa ni barua ya kusisimua sana toka kwa mmojawapo wa wawakilishi waShule yetu ya Biblia katika Afrik.” Miaka mitano iliyopita nilipokea ombi tokakwa sauti ya Unabii ili nimtembeleemfungwa mmoja ambaye alikuwamwanafunzi wa Shule ya Biblia kwa Posta.Nilionyesha ombi lile kwa wakuu wa gerezalile ambao kwa hisani yao walinipa ruhusa.Kwa kuwa mwanafunzi

19. KUINGIA KATIKA MAISHA YA KIKRISTO Read More »

20. SIRI YA KUKUA KWA USHIRIKIANO

SIRI YA KUKUA KWA USHIRIKIANOMapema katika miaka ile ya kuanzia 1960 na kuendelea, Ndugu Andrew,mtu wa Uholanzi, aliingiza kwa siri mzigo wa Biblia katika gari lake la VolksWagen (Folks Vageni) na kuvuka mpaka wa Romania na kuwapita walinziwa kikomunisti. Alipanga katika hoteli moja na kuanza kuomba kwambaMungu amwongoze kwenda kwenye makundi ya Kikristo yanayofaa –

20. SIRI YA KUKUA KWA USHIRIKIANO Read More »

Scroll to Top
MKUSDA CHURCH