2. TWAWEZA KUIAMINI BIBLIA
Mabaharia waasi maarufuwalioizamisha meli yaKiingereza iliyoitwa Bountywaliishia kufanya makazi yaowakiwa pamoja na wanawake,wenyeji wa eneo lile katikakisiwa cha Pitcairn katika Bahariya Pasifiki ya Kusini. Kundi lilelilikuwa mabaharia tisa waKiingereza, wanaume wa Kitahitisita, wanawake wa Kitahiti kumi,na msichana wa miaka kumi namitano. Mmojawapo wamabaharia wale alivumbuanamna ya kutonesha [kugeuzakuwa mvuke] alkoholi, na baadaya muda mfupi ulevi […]
2. TWAWEZA KUIAMINI BIBLIA Read More »